Wednesday, June 24, 2015
Metaphysics philosophy
https://en.m.wikipedia.org/wiki/Metaphysics
Labels:
The tank of knowledge
Location:
MTAA WA UPOGORONI, Makuburi
Saturday, May 16, 2015
| Kuna vitu vitatu muhimu sana kwa mtu yeyote anayetaka kufikia mafanikio makubwa. Vitu hivyo ni kufanya kazi kwa bidii na maarifa, kuwa mwaminifu na kuwa muadilifu. Ukikosa kimoja kati ya vitu hivi vitatu ni sawa na jiko la mafiga matatu ambalo limekosa figa moja, haliwezi kupika. Ukikosa vyote vitatu ni sawa na kwamba huna maisha kabisa. Kama ilivyo kwenye jiko kama hakuna mafiga yote matatu hakuna jiko kabisa. Tabia hizi tatu ndio zitakazokuwezesha kutoka popote ulipo, hata pangekuwa chini kiasi gani na kuweze kufikia mafanikio makubwa. Bila ya tabia hizi tatu utajaribu sana kufikia mafanikio lakini utashindwa. Unaweza kufanya kazi kwa juhudi na maarifa ila kama umekosa uaminifu, hakuna mtu atakayetaka kufanya kazi na wewe. Unaweza kufanya kazi kwa juhudi na maarifa na ukawa na uaminifu, ila kama umekosa uadilifu utajikuta kila siku unaingia kwenye matatizo. Kutokana na umuhimu wa tabia hizi tatu katika kufikia mafanikio, tutazijadili moja baada ya nyingine hapa kwenye kipengele cha TABIA ZA MAFANIKIO kwenye KISIMA CHA MAARIFA. Mwezi huu wa pili tutaanza kujijengea tabia ya UAMINIFU. Kwa mwezi mzima kila siku ya jumanne utapata makala itakayokuwezesha wewe kujijengea tabia hii muhimu ambayo itakuwezesha kufikia malengo yako na mafanikio makubwa. Je inawezekana kujijengea tabia hii?Swali muhimu ambalo watu wengi wanaweza kujiuliza ni je inawezekana kujijengea tabia hii? Watu wengi wanafikiri ukishakosa uaminifu na hasa unapokuwa mtu mzima ndio basi tena, ni vigumu kubadilika kwa sababu ndivyo maisha yako yalivyozoea.Ukweli ni kwamba kitu chochote ambacho unakifanya sasa umejifunza hapa hapa duniani. Ni tabia chache sana ambazo mtu umezaliwa nazo, ila nyingine nyingi umejifunza kw akuchagua mwenyewe au kuiga wengine wanavyofanya kwenye jamii inayokuzunguka. Haijalishi umekosa uaminifu kwa muda mrefu kiasi gani, unaweza kuanza kujifunza leo na ukaboresha maisha yako. Katika makala hizi za kujijengea tabia ya uaminifu tutakwenda hatua kwa hatua za jinsi ya kujijengea tabia hii. Kama utafuata maelekezo yote vizuri utakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kufikia mafanikio. Kukosa uaminifu ni tatizo la kitaifa.Kwa nchi yetu Tanzania, kukosa uaminifu ni tatizo la kitaifa. Wizi, ufisadi na hata mambo mengine mabaya yanayoendelea kwenye nchi hii yanatokana na kukosekana kwa uaminifu. Sasa hivi kila mtu anayepata nafasi yoyote anaangalia ni jinsi gani anaweza kupata zaidi ya alichopangiwa kupata. Ndio maana rushwa imekithiri, watu wanaiba fedha na mali za umma na tunaendelea kuwa masikini.Kama tusipoweza kutatua tatizo hili la uaminifu, tutaendele akuwa masikini kama taifa. Hii ni kwa sababu asiye mwaminifu anaendelea kuwa masikini na anawasababisha wengine nao kuwa masikini. Ni muhimu sana kila mtu kujijengea uaminifu.Kwa nchi yetu Tanzania, kila mtu, namaanisha kila mtu anatakiw akujifunza jinsi ya kujijengea tabia ya uaminifu. Sisemi kwamba nchi nzima woote sio waaminifu, ila tuna watu wengi sana ambao sio waaminifu hivyo ni rahisi kuwaharibu wale ambao ni waaminifu. Kwa mfano kwenye eneo ambalo watu wamezoea kutoa rushwa, ukienda mtu ambaye hutoi rushwa unaonekana ni wa ajabu. Hii inaweza kumfanya mtu mwaminifu kutoa rushwa kwa sababu kila mtu anafanya hivyo.Ni muhimu kila mtu kujifunza jinsi ya kujijengea tabia ya uaminifu, ili kama sio mwaminifu uwe mwaminifu na kama tayari ni muaminifu uimarishe uaminifu wako na kuwashawishi wanaokuzunguka nao wawe waaminifu. Watu waliofanikiwa sio waaminifu, sio kweli.Kitu cha mwisho ambacho nafikiri wengi watakuwa wanajiuliza kuhusu tabia hii ya uaminifu ni kwamba mbona watu waliofanikiwa sio waaminifu? Kuna habari nyingi ambazo huwa tunazipata kuhusu watu matajiri, utasikia huyu alifanya mambo fulani ambayo sio ya uaminifu ndio akapata utajiri. Utasikia mwingine amenyonya wafanyakazi, anaibia serikali, anakwepa kodi ndio maana amekuwa tajiri.Kwanzia leo, kama kweli unataka kufikia mafanikio, futa mawazo haya hasi kwenye kichwa chako. Hakuna mtu aliyefanikiwa na akaendelea kukaa kwenye mafanikio hayo kwa muda mrefu kama sio mwaminifu. Mifano iko wazi, angalia viongozi wote wa kiserikali ambao wameiba mafedha mengi na wengine kwenda kuyaficha nje ya nchi kabisa. Mwisho wa siku mambo yamelipuka na ukweli umejulikana. Angalia majambazi ambao wamekuwa wakiiba fedha nyingi bila hata ya kukamatwa, unawez akujiuliza kwa nini watu hawa wasiache wizi baada ya kupata fedha nyingi na kufanya mambo mengine? Jibu ni rahisi, hawan atabia ya uaminifu, hivyo hata akiacha wizi baada ya kupata fedha nyingi na kuingia kwenye biashara anaishia kupata hasara. Leo nakupa siri moja kwa nini watu wengi wenye mafanikio wanajengewa picha kwamba ni watu ambao sio waaminifu. Mwandishi mmoja wa kimarekani aliwahi kuulizwa swali hilo, kwa nini nyie waandishi mmekuwa mkiwaandika watu wenye mafanikio kama watu ambao sio waaminifu. Kwa nini hata kwenye maigizo, watu matajiri wanaonekana kuwa na roho mbaya? Yeye alijibu; hivyo ndivyo jamii inavyopenda kuona, na sisi tunawapatia hicho hicho, pia watu matajiri ni rahisi kuwaandika vyovyote unavyotaka na usipate pingamizi. Ukianza kuwaandika watu masikini, wataleta malalamiko makubwa sana. Ila kwa kuwa matajiri hawana muda wa kufuatilia mambo madogo kama haya basi inakuwa rahisi kwetu. Katika makala hizi za kujijengea tabia ya uaminifu tutajifunz amambo yafuatayo; 1. Maana ya uaminifu. 2. Jinsi ya kujijengea tabia ya uaminifu. 3. Jinsi ya kuepuka mazingira yanayokuondolea tabia ya uaminifu. 4. Uhusiano kati ya tabia ya uaminifu na mafanikio. Kupata nafasi ya kujifunza jinsi ya kujijengea tabia hii ya uaminifu jiunge naKISIMA CHA MAARIFA. Kujiunga bonyeza haya maandishi ya neno KISIMA CHA MAARIFA kisha fuata maelekezo. Jaza fomu na kisha utume fedha ya uanachama kwenda namba 0717396253 au 0755953887 na utume jina au email uliyojiunga nayo. Kupata nafasi ya kujifunza kuhusu tabia za mafanikio na kujifunza ujasiriamali na biashara ada ni tsh elfu kumi kwa mwaka. Jiunge leo ili uweze kupata mafunzo bora yatakayokuwezesha kufikia mafanikio makubwa. Nakutakia kila la kheri kwenye kufikia mafanikio makubwa. TUPO PAMOJA. Makirita Amani, makirita@kisimacha maarifa.co.tz |
Sunday, May 3, 2015
Who influenced Nyerere: His Ujamaa Philosophy and Azimio Principles?
Waungwana,
Ni nani na ni misingi gani ya utashi iliyojijenga kwenye akili za Julius Kambarage wa Nyerere kutuletea Ujamaa na Kujitegemea na hata Azimio la Arusha?
Wengi tunadhania kuwa ni safari yake ya China 1966. Wengine wanadai ni wale ma-Labor na Socialist wa Uingereza.
Tunajua kuwa tumeangalia sana Ujamaa wetu na Azimio kwa mkao wa Great Leap Forward na Cultural Revolution za China ya Mao na Leninism/Stalinism ya Command Economy, New Economic Policy, Collective farming, na hata matunda ya Bolshevik revolution na sera kama Prodrazvyorstka!
Tukija huku kwetu Afrika tunadai kuna Ujamaa wa Kiafrika, Pan Africanism na mengine mengi.
Lakini bado nafikiri ni kitendawili kwetu kuwa ni ushawishi gani na kwa maono gani Nyerere alikaa chini na kutuletea Ujamaa na Kujitegemea na Azimio la Arusha?
Nikirudia Historia na kuangalia kinachotokea Marekani kiuchumi mwaka huu na nyakati hizi, narudi kujiuliza, falsafa za kiuchumi na kujenga jamii za Marekani zilimkosha Mwalimu Nyerere hasa kuangalia Historia ya great depression?
Je FDR (Franklin Delano Roosevelt) na New Deal yake, Fransiscans/Jesuit philosophy na hata Keynesian Policies zilimbadilisha vipi huyu Mkulu wetu? Planned Economy za National Recovery Administration wakati wa Great Depression ya Marekani na hata Public Works ya Nazi German vilikuwa na nafasi gani?Je alichungulia Front Populaire ya Leon Blum wa Ufaransa na kudonoa mambo kadhaa?
Je kujinasua kwa Marekani baada ya Uhuru wake kutoka Uingereza na kujijenga kama taifa linalojitegemea na si kutegemea falme ya Uingereza na kiburi cha Kimarekani pia kilichangia kumjenga Nyerere kuwa na kiburi cha masikini jeuri?
Twajua Julius Nyerere alikuwa mwana historia mzuri hata ukiangalia na kumpima kutafsiri kwake kwa Julius Kaisari na Mfanyabiashara wa Venisi kazi za William Shakespear zinaonyesha ni influence gani ya fasihi, historia na falsafa alikuwa nayo.
Je Keynes alikuwa na infuence gani kwa Nyerere ambaye alisoma fasihi, historia , uchumi na falsafa alipokuwa Makerere na hata Edinburgh?
What about Wealth of nations, je Nyerere alifanya modification ya principles za Adam Smith akipewa baraka na Labor Party ya Uingereza chini ya ushawishi wa Mama Joy Wickens? Maana ukiangalia Azimio la Arusha, pamoja na kuuzwa kuwa linapiga vita Ubepari, in fact linaruhusu ubepari na mfumo wa Kibepari kwa kiasi fulani hasa linaposema kuwa Viongozi wasiwe na zaidi ya hisa katika makampuni mawili!
Je Plato, Aristotle, Socrates, Ghandi na hata Yesu au Mtume Mohamed wali-play part gani kum-influence Nyerere?
Je alisoma sana Das Kapital na Communist Manifesto ya Karl Marx, akamchanganya Trosky na Friederich Engels?
Je sisi kama Taifa kwa kumfuata Kiongozi wetu tulikuwa ni majaribio (experiment) ambayo mataifa makubwa yalikaa kando kuangalia huyu mwanafalsafa na mwanamapinduzi wa Afrika akikoroga na kuunganisha mifumo ya kiuchumi ya Ubepari, Ukabaila, Ukomunisti na Ujamaa na kuunda Ujamaa wa Kiafrika ambao ulilenga kwenye kujitegema na hata kuzaa Azimio la Arusha kubana tabaka la viongozi na kuhamasisha umiliki wa mali kwa umma na si watu binafsi?
Tumeegemea sana kusema tumeunda Ujamaa wetu kutokana na ziara yake ya China na kuharibika kwa uhusiano wetu na Uingereza kulikotokea kipindi hicho hicho.
Je inawezekana kuwa kiwango kikubwa cha falsafa zake za Ujamaa na Azimio ni mgawanyiko sawa wa influence za magharibi wakati wa depression na mashariki wakati wa uprising na mapinduzi?
Thursday, July 31, 2014
UMUHIMU WA KUTUNZA MAZINGIRA KWA FAIDA YANGU NA YAKO.
UMUHIMU WA
KUTUNZA MAZINGIRA KWA FAIDA YANGU NA YAKO.
Wapendwa leo tutaangalia kidogo upande tofauti, naule tuliozoea, leo tuko upande wa mazingira, kwani endapo tutayaboresha basi na shughuli zetu za kiujasiriamali zitaweza kufanyika vizuri sana, karibu sasa twende pamoja.
Monday, July 28, 2014
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KWA MJASIRIAMALI
Mjasiriamali ni mtu anayepaswa kila wakati kuwa na macho yanayo ona mbali, katika shughuli zake za biashara aifanyayo au huduma aitoayo. Leo nimeandaa mambo kadha kwa mjasiriamali yoyote atakae zingatia ita kuwa ni faida kwake, na shughuli aifanyayo.
Nimeandika kwa kifupi sana lakini ukweli yanaeleweka na ukiyatilia maanani ni msaada mzuri kwako.
Mambo yenyewe ni kama yafuatayo.
MAMBO YA KUZINGATIA KWA MJASIRIAMALI KILA SIKUKATIKA SHUGHULI ZAKE.
1.JITAIDI KUWAMTUWAKWANZA KUJUA KINACHOTOKEAKATIKA ULIMWENGU WA BIASHARA NA FURSA MPYA ZA KUWEKEZA.
2.KUWAMVUMILIVUKATIKA SHUGHULI YAKO NA JITAIDI KUFANYAMABADILIKO CHANYAILIBIASHARA YAKO IWEMPYA KILA UCHAO.
3.PENDA KUZINGATIA UBORA NA UFANISI KATIKA HUDUMA YAKO, ACHA KUKIMBILIA PESA ZA KIPINDI KIFUPI, JENGA MSINGI IMARAWAKUPATA FEDHAWAKATI WOTE.
4.USISITE KUTHUBUTU KUANZISHA SHUGHULI YOYOTE,AU BIASHARAYOYOTE, CHA KUZINGATIA FANYA UPEMBUZI WA SOKO, ALAFU JIKITE KATIKA BIASHARA UITAKAYO.
5.JITAIDI KUPANGA MAMBO KISASA, KAMA H UNAUJUZI SANA ENEOHILI USISITE KUWAONA WATAAALAMU WA BIASHARA..
6.TENGENEZA MTANDAO NA WATUMBALIMBALI,WATAKAO KUWA MSAADA KATIKA SHUGHULI YAKO,JENGA PIAUSHAWISHI KWA WATEJA NA WAFANYA BIASHARA WALIO FANIKIWA ZAIDI YAKO.
7.JIAMINI KATIKA HUDUMA YAKO, NA HASA KAMA ULIIPANGA SAWASAWA,
Hapa ningependa kueleza kidogo, baadhi ya wafanya biashara wakitanzania haswawafanyabiashara wadogo, mtu akiwa chalenji kidogo kwenye biashara zao, majibu yao huwa mawili, kwanza ukimkuta mwenye mali anajiamini kidogo atamjibu mteja 'kama utaki weacha wenzio watanunua, sisi kila siku ndo tunavyo uza we nenda bwana unatutilia usiku tu, kama huna hela si useme usaidiwe,kukera biashara za wenzako tu'. Ukimkuta mfanya biasha muoga, basi anashindwa hatakumjibu mtejawake, anakasirika kimya kimya, nakesho biashara hiyo anaacha kabisa, kisa "nimekwazwa".
Kama ikikutoke wewe usipandwe na gadhabu jibu ni rahisi tu, kama ni kweli kuna kitu ulikosea mwambie "bwana pamoja na iyo shida kidogo uliyo iyona lakini bidhaa yetu ni bora una jaribu kumwonyesha kwamifano, namna bidhaa yenu ilivyo bora, au pia unamtaka radhi na kumwaidi mara nyingine utajitaidi kuboresha vizuri". Usikasirike ndugu, ingawa ni kweliwateja wengineujui aliko toka, jitaidi kuwa makini.
Kwa leo ni hayo tu ndugu zangu tutaonana wakati na mara nyingine.
Sisi sote ni ndugu,
Godfrey Nangeda
0717008781/0756314274
Nimeandika kwa kifupi sana lakini ukweli yanaeleweka na ukiyatilia maanani ni msaada mzuri kwako.
Mambo yenyewe ni kama yafuatayo.
MAMBO YA KUZINGATIA KWA MJASIRIAMALI KILA SIKUKATIKA SHUGHULI ZAKE.
1.JITAIDI KUWAMTUWAKWANZA KUJUA KINACHOTOKEAKATIKA ULIMWENGU WA BIASHARA NA FURSA MPYA ZA KUWEKEZA.
2.KUWAMVUMILIVUKATIKA SHUGHULI YAKO NA JITAIDI KUFANYAMABADILIKO CHANYAILIBIASHARA YAKO IWEMPYA KILA UCHAO.
3.PENDA KUZINGATIA UBORA NA UFANISI KATIKA HUDUMA YAKO, ACHA KUKIMBILIA PESA ZA KIPINDI KIFUPI, JENGA MSINGI IMARAWAKUPATA FEDHAWAKATI WOTE.
4.USISITE KUTHUBUTU KUANZISHA SHUGHULI YOYOTE,AU BIASHARAYOYOTE, CHA KUZINGATIA FANYA UPEMBUZI WA SOKO, ALAFU JIKITE KATIKA BIASHARA UITAKAYO.
5.JITAIDI KUPANGA MAMBO KISASA, KAMA H UNAUJUZI SANA ENEOHILI USISITE KUWAONA WATAAALAMU WA BIASHARA..
6.TENGENEZA MTANDAO NA WATUMBALIMBALI,WATAKAO KUWA MSAADA KATIKA SHUGHULI YAKO,JENGA PIAUSHAWISHI KWA WATEJA NA WAFANYA BIASHARA WALIO FANIKIWA ZAIDI YAKO.
7.JIAMINI KATIKA HUDUMA YAKO, NA HASA KAMA ULIIPANGA SAWASAWA,
Hapa ningependa kueleza kidogo, baadhi ya wafanya biashara wakitanzania haswawafanyabiashara wadogo, mtu akiwa chalenji kidogo kwenye biashara zao, majibu yao huwa mawili, kwanza ukimkuta mwenye mali anajiamini kidogo atamjibu mteja 'kama utaki weacha wenzio watanunua, sisi kila siku ndo tunavyo uza we nenda bwana unatutilia usiku tu, kama huna hela si useme usaidiwe,kukera biashara za wenzako tu'. Ukimkuta mfanya biasha muoga, basi anashindwa hatakumjibu mtejawake, anakasirika kimya kimya, nakesho biashara hiyo anaacha kabisa, kisa "nimekwazwa".
Kama ikikutoke wewe usipandwe na gadhabu jibu ni rahisi tu, kama ni kweli kuna kitu ulikosea mwambie "bwana pamoja na iyo shida kidogo uliyo iyona lakini bidhaa yetu ni bora una jaribu kumwonyesha kwamifano, namna bidhaa yenu ilivyo bora, au pia unamtaka radhi na kumwaidi mara nyingine utajitaidi kuboresha vizuri". Usikasirike ndugu, ingawa ni kweliwateja wengineujui aliko toka, jitaidi kuwa makini.
Kwa leo ni hayo tu ndugu zangu tutaonana wakati na mara nyingine.
Sisi sote ni ndugu,
Godfrey Nangeda
0717008781/0756314274
Friday, July 25, 2014
KWANINI NI VEMA KUWA MJASIRIAMALI?
Ujasiriamali ni mchakato wa kuziona fursa na kuweka miundombinu sahihi, pamoja na rasirimali watu,na rasirimali fedha kiasi katika eneo mahususi ili kufanya biashara au kutoa huduma, kwa lengo la kujiongezea kipato.
Ujasiriamali una weza kuwa ni kufanya biashara, au kutoa huduma fulani, katika jamii.
Je ni kwanini kila mtu awe mjasiriamali?
Swali hili lina taka majibu yakina ili kuweka maana sawa ya umuhimu huo kwa jamii, na wanajamii wote.
Swali linginela kujiulizani kweli kila mtu ana sifa za kuwa mjasiriamali, labda ili uwe mjasiriamali unaitaji uwe na sifa zipi,(qualities)?
Ukweli wa mambo ni kwamba mambo mengine mengi una yo ambiwa kwamba unatakiwa kuwanayo ili uwe mjasiriamali pengine ni mengi sana na labda hauna wewe kama mtu binafsi na uka hisi basi wewe huna sifa za kuwa mjasiriamali.
Lakini kama utangulizi unavyo eleza ni hali au mchakato(process), wa wewe mtu binafsi, au kikundi mlioona fursa na kuzi changamkia, kwa lengo la kuwaongezea kipato, na kuwa fanya muishi kwa furaha.
Lengo kuu la kuwa mjasiriamali ni moja tu au mawili kuongeza kipato, na kuweza kujijengea uwezo mzuri katika utendaji wa kazi zako za kila siku. Ujasiriamali ukifanywa kwa husahihi, una ibua mambo mengi na faida nyingi na kuku weka katika nafasi nzuri katika jammii yoyote, una weza kuaminiwa sana na kupata faida kubwa sana katika maisha.
Unaweza kupata mambo mengi lakini mimi na yaangalia mabo mawili kwa ujumla wake amboyo ndio chanzocha kuibua mambo mengine au faida nyingine.
Mambo hayo ni kuongeza kipata na kujenga utendaji mzuri katika shughuli zako.
Sasa swali la kujiuliza nani anafaa au ana sifa za kuwa mjasiriamali?
Inawezekana unajiuliza swali hili maranyingi sana na kujipima(assessment on qualities) kama na wewe una sifa za kuwa mjasiriamali.
Ukweli ni kwamba katika dunia hii tunayo ishi hakuna kinacho shindikana kama tu umetumia njia sahihi kupanga jambo lako, kisasa kisayansi haswa na lika shindwa kufanikiwa.
Kama litashindwa kufanikiwa basi kuna sababu pia za kisayansi zinazo pelekea jambo husika kutofanikiwa, yani na maanisha kuna( measurable reasons)sababu zinazo pimika kuonesha kukwama kwa jambo au kufanikiwa kwa jambo lolote. Kwahiyo swali je! mimi nasifa za kuwa mjasiriamali? Jibu ni ndio wewe unazo hizo sifa, kikubwa ambacho una kosa ni fikra zako tu uja zi twist kwenye upande huo, wakuongeza mali katika kaya yako.
Kikubwa cha kufanya panga mambo yako kisayansi, panga mipango yako kwa weledi mkubwa,kuwa mvuumilivu katika kufanikiwa katika lengo kubwa zaidi. acha tamaa za muda mfupi jikite katika mambo ya maana, kuwa makini na matumizi ya fedha kwa mambo muhimu na yanayo itajika kwamaendeleo ya huduma uitoayo.
Kwahiyo ni swala la wewe kutoka hapo katika mawazo uliyo nayo na kujaribu kuvuka mto wenye mamba wengi ukichukua njia sahihi na nakuhakikishia utafanikiwa.
Namna utakavyokuwa una endelea ndipo utaona wataalamu wengine, na watu wengine watakavyo kuwa wanakuja na kuanza kuonesha utaalamuwa na kukushauri ili na lile, uta pata washa wazuri na wa baya kazi ni kwako kuchuja taarifa, ipi ina faida kwako na kwa wakati gani.
Shida kubwa ninayo iona watanzania tunayo ni kwamba, tuna weza kusoma vizuri au kusikiliza semina vizuri sana tukijaribu kuchukua hatua kidogo na endapo tuna kwama basi hapo ina kuwa ndo mwisho wa mchezo.
Nawatakia siku njema tutaonana wakati mwingine, chukua hatua usijione umechelewa, Mungu awabariki nyote.
Sisi sote ni ndugu.
Godfrey Nangeda.
Ujasiriamali una weza kuwa ni kufanya biashara, au kutoa huduma fulani, katika jamii.
Je ni kwanini kila mtu awe mjasiriamali?
Swali hili lina taka majibu yakina ili kuweka maana sawa ya umuhimu huo kwa jamii, na wanajamii wote.
Swali linginela kujiulizani kweli kila mtu ana sifa za kuwa mjasiriamali, labda ili uwe mjasiriamali unaitaji uwe na sifa zipi,(qualities)?
Ukweli wa mambo ni kwamba mambo mengine mengi una yo ambiwa kwamba unatakiwa kuwanayo ili uwe mjasiriamali pengine ni mengi sana na labda hauna wewe kama mtu binafsi na uka hisi basi wewe huna sifa za kuwa mjasiriamali.
Lakini kama utangulizi unavyo eleza ni hali au mchakato(process), wa wewe mtu binafsi, au kikundi mlioona fursa na kuzi changamkia, kwa lengo la kuwaongezea kipato, na kuwa fanya muishi kwa furaha.
Lengo kuu la kuwa mjasiriamali ni moja tu au mawili kuongeza kipato, na kuweza kujijengea uwezo mzuri katika utendaji wa kazi zako za kila siku. Ujasiriamali ukifanywa kwa husahihi, una ibua mambo mengi na faida nyingi na kuku weka katika nafasi nzuri katika jammii yoyote, una weza kuaminiwa sana na kupata faida kubwa sana katika maisha.
Unaweza kupata mambo mengi lakini mimi na yaangalia mabo mawili kwa ujumla wake amboyo ndio chanzocha kuibua mambo mengine au faida nyingine.
Mambo hayo ni kuongeza kipata na kujenga utendaji mzuri katika shughuli zako.
Sasa swali la kujiuliza nani anafaa au ana sifa za kuwa mjasiriamali?
Inawezekana unajiuliza swali hili maranyingi sana na kujipima(assessment on qualities) kama na wewe una sifa za kuwa mjasiriamali.
Ukweli ni kwamba katika dunia hii tunayo ishi hakuna kinacho shindikana kama tu umetumia njia sahihi kupanga jambo lako, kisasa kisayansi haswa na lika shindwa kufanikiwa.
Kama litashindwa kufanikiwa basi kuna sababu pia za kisayansi zinazo pelekea jambo husika kutofanikiwa, yani na maanisha kuna( measurable reasons)sababu zinazo pimika kuonesha kukwama kwa jambo au kufanikiwa kwa jambo lolote. Kwahiyo swali je! mimi nasifa za kuwa mjasiriamali? Jibu ni ndio wewe unazo hizo sifa, kikubwa ambacho una kosa ni fikra zako tu uja zi twist kwenye upande huo, wakuongeza mali katika kaya yako.
Kikubwa cha kufanya panga mambo yako kisayansi, panga mipango yako kwa weledi mkubwa,kuwa mvuumilivu katika kufanikiwa katika lengo kubwa zaidi. acha tamaa za muda mfupi jikite katika mambo ya maana, kuwa makini na matumizi ya fedha kwa mambo muhimu na yanayo itajika kwamaendeleo ya huduma uitoayo.
Kwahiyo ni swala la wewe kutoka hapo katika mawazo uliyo nayo na kujaribu kuvuka mto wenye mamba wengi ukichukua njia sahihi na nakuhakikishia utafanikiwa.
Namna utakavyokuwa una endelea ndipo utaona wataalamu wengine, na watu wengine watakavyo kuwa wanakuja na kuanza kuonesha utaalamuwa na kukushauri ili na lile, uta pata washa wazuri na wa baya kazi ni kwako kuchuja taarifa, ipi ina faida kwako na kwa wakati gani.
Shida kubwa ninayo iona watanzania tunayo ni kwamba, tuna weza kusoma vizuri au kusikiliza semina vizuri sana tukijaribu kuchukua hatua kidogo na endapo tuna kwama basi hapo ina kuwa ndo mwisho wa mchezo.
Nawatakia siku njema tutaonana wakati mwingine, chukua hatua usijione umechelewa, Mungu awabariki nyote.
Sisi sote ni ndugu.
Godfrey Nangeda.
Thursday, July 24, 2014
UMUHIMU WA KUWAJENGEA VIJANA UWEZO
Umasikini katika taifa letu umekuwa si jambo la kuwashangaza tena watu tunaowaamini,na ambao kwanamna moja ama njingine tuna aminini ndio injini ya kusaidia au kuchochea mabadiliko ya maendeleo katika jammii.
Mfanoo wa watuhao kama Wasomi, wataalam wa maswala mbali mbbali,wanasheria, waalimu wadini, na watu wenye weledi wowote kwenye maswala mbalimbali ya nayo muhusu mwananchi. Kwanamna moja ama nyingingene, hawaoni au hawaguswi na matatizo moja kwa moja ya nao wakabili vijana katika kujikwamua na ugumu wa maisha unao wakabili.
Kuthibitisha haya niyasemayo, ni jinsi watu wote tulivyo kaa kimya tunapo shindwa kuwa na mikakati endelevu ya kuwajengea vijana uwezo hasa wanaotoka vyuoni, au ambao wako mtaani.
Tumekosa mbinu mujarabu yakuhakikisha hii rasirimali watu tunaitengenezea utaratibu mzuri ili ijikite kwenye uzalisha, nakusaidia nchi kupata maaendeleo ya haraka.
Binafsi sitaki kujikita katika muendelezo wa kulaumu mambo yalivyo au kuu laumu mfumo unao tuongoza kwanama tunavyo weza kuwasaidia au kujisaidia sisi sote kama taifa.
Hapa chini nimejaribu kuja na angalau njia kadhaa ambazokwa namnamoja au njingine kama zita tumiwa au kufutwa na vijana zinawezakuwafanya ua kuwajengea vijana uwezo.,ili waweze kukabiliana nachangamoto za maisha zinazo wakabili.
KWANZA VIJANA WAJITAIDI KUTAFUTA TAARIFA SAHII NA ZA WAKATI.
Taarifa sahii ndizo msingi wakufanya mambo vizuri na kufikia mafanikio endelevu, ya mtu mmoja mmoja au taifa kwaujumla, swali lamsingi lakujiuli tarifa sahii tunazipata wapi?
Majibu ya swali hilo ni mepesi kabisa, taarifa sahii zinapatikana kwenye sekta husika, aushughulihussika, kwa mfano, unajiandakufungua kiwandakidogo cha usindikaji wa maziwa, nivizuri kupata maelekezo mazuri yana mna ya kuanzisha viwanda vidogo kwa watu kama SIDO wanao husika na viwanda vidogo vidogo. Taarifa ya SIDOitakuwa ni mwongozo mzuri kwamaendeleo ya kazi yako.
VJANA TUJIKITE KWENYE MAMBO YA MAANA.
Kwa namnamoja au njingine vijana tumepoteza muda mwingi kwenye mambo ambayo hayana tija kwetu wala kwa taifa, atupendi kudadisi mambo,tunaamini mambo yalivyo tubasi inatosha, tunapoteza rasilimali, muda, fedha na mabo kama hayo, mfano kijana ambaye hana kazi ya kueleweka anakuwa na uhusiano wa kimapenzi na kijanazaidi ya mmoja, hali hii wakati mwingine inatulazimu kutumia muda mwingi, na tunapoteza pesa nyingi na tunapata faida hasi kwenye matokeo hayo.
TUTENGENEZE MTANDAO WENYE MANUFAA.
Mtandao ni njia moja wapo inayo tuwezesha kuendesha mambo yetu kwa manufaa yetu, na taifaletu.
Mtandao una tuwezesha kupata hata taarifasahii kwa ajili ya manufaa yetu. Niimaniyangu kwako kijana mwezangu kwamba kwa kupata taarifa sahii zitakuwa mwongozo sahihi kwa mambo yako. Mfano unahudhuria semina,au maonesho ya sabasaba ni vizuri kuchukua mawasiliano yawatumbali mbalimbali kutegemea na taarifa unazo hitaji kulingana nashughuli yako, au uliyo panga kuifanya, mara nyingi tumetengeneza au tuna endelea kutengeneza mitandao yakututoa pesa zaidi badala ya kutengeneza mitandao ya kuingiza pesa zaidi kwa maendeleo yetu.
TUJITAIDI KUPATA ELIMU NA TUPENDE KUSOMA TUKUZE FIKRA ZETU.
Shule ni mwalimu mzuri ili kufanikisha jambo kwa uhakika, tatizokubwa niliona lo kwa watanzania wote kuona elimu kama mzigo wa mawe, kwamba nikitu cha shida sana na kina uwekezaji mkubwa sana.
Hili lina wezakuwa ni jambo lakweli kutokana na mifumo yetuya kupata elimu na utoaji wake kwa jamii yetu. Elimu ilionekana, na bado inaoneka na kama anasa kuipata, na upatikanaji wake ni mgumu sana, inaonekana ni kwa watu wenye hela tu wanaowezakuipata, na ni kwatabusana.
Pamoja na yote hayo iyo isitumike kama sababu ya kimantiki kufifisha ari na hitaji la mtu mmoja mmoja kupata elimu. Lazma mamlaka husika na sisi wananchi mmoja mmoja tuwe na hamu ya kupata elimu na tuitafute kokote kwa udi na uvumba, kwani elimu bora ndio mstakbali wabaadae yetu.
Kwa leoni hayo machache ndugu kijana mwezangu, tujitaidi kubadilika kifikra,
Sisi sote ni ndugu.
Na Godfrey Nangeda.
Mfanoo wa watuhao kama Wasomi, wataalam wa maswala mbali mbbali,wanasheria, waalimu wadini, na watu wenye weledi wowote kwenye maswala mbalimbali ya nayo muhusu mwananchi. Kwanamna moja ama nyingingene, hawaoni au hawaguswi na matatizo moja kwa moja ya nao wakabili vijana katika kujikwamua na ugumu wa maisha unao wakabili.
Kuthibitisha haya niyasemayo, ni jinsi watu wote tulivyo kaa kimya tunapo shindwa kuwa na mikakati endelevu ya kuwajengea vijana uwezo hasa wanaotoka vyuoni, au ambao wako mtaani.
Tumekosa mbinu mujarabu yakuhakikisha hii rasirimali watu tunaitengenezea utaratibu mzuri ili ijikite kwenye uzalisha, nakusaidia nchi kupata maaendeleo ya haraka.
Binafsi sitaki kujikita katika muendelezo wa kulaumu mambo yalivyo au kuu laumu mfumo unao tuongoza kwanama tunavyo weza kuwasaidia au kujisaidia sisi sote kama taifa.
Hapa chini nimejaribu kuja na angalau njia kadhaa ambazokwa namnamoja au njingine kama zita tumiwa au kufutwa na vijana zinawezakuwafanya ua kuwajengea vijana uwezo.,ili waweze kukabiliana nachangamoto za maisha zinazo wakabili.
KWANZA VIJANA WAJITAIDI KUTAFUTA TAARIFA SAHII NA ZA WAKATI.
Taarifa sahii ndizo msingi wakufanya mambo vizuri na kufikia mafanikio endelevu, ya mtu mmoja mmoja au taifa kwaujumla, swali lamsingi lakujiuli tarifa sahii tunazipata wapi?
Majibu ya swali hilo ni mepesi kabisa, taarifa sahii zinapatikana kwenye sekta husika, aushughulihussika, kwa mfano, unajiandakufungua kiwandakidogo cha usindikaji wa maziwa, nivizuri kupata maelekezo mazuri yana mna ya kuanzisha viwanda vidogo kwa watu kama SIDO wanao husika na viwanda vidogo vidogo. Taarifa ya SIDOitakuwa ni mwongozo mzuri kwamaendeleo ya kazi yako.
VJANA TUJIKITE KWENYE MAMBO YA MAANA.
Kwa namnamoja au njingine vijana tumepoteza muda mwingi kwenye mambo ambayo hayana tija kwetu wala kwa taifa, atupendi kudadisi mambo,tunaamini mambo yalivyo tubasi inatosha, tunapoteza rasilimali, muda, fedha na mabo kama hayo, mfano kijana ambaye hana kazi ya kueleweka anakuwa na uhusiano wa kimapenzi na kijanazaidi ya mmoja, hali hii wakati mwingine inatulazimu kutumia muda mwingi, na tunapoteza pesa nyingi na tunapata faida hasi kwenye matokeo hayo.
TUTENGENEZE MTANDAO WENYE MANUFAA.
Mtandao ni njia moja wapo inayo tuwezesha kuendesha mambo yetu kwa manufaa yetu, na taifaletu.
Mtandao una tuwezesha kupata hata taarifasahii kwa ajili ya manufaa yetu. Niimaniyangu kwako kijana mwezangu kwamba kwa kupata taarifa sahii zitakuwa mwongozo sahihi kwa mambo yako. Mfano unahudhuria semina,au maonesho ya sabasaba ni vizuri kuchukua mawasiliano yawatumbali mbalimbali kutegemea na taarifa unazo hitaji kulingana nashughuli yako, au uliyo panga kuifanya, mara nyingi tumetengeneza au tuna endelea kutengeneza mitandao yakututoa pesa zaidi badala ya kutengeneza mitandao ya kuingiza pesa zaidi kwa maendeleo yetu.
TUJITAIDI KUPATA ELIMU NA TUPENDE KUSOMA TUKUZE FIKRA ZETU.
Shule ni mwalimu mzuri ili kufanikisha jambo kwa uhakika, tatizokubwa niliona lo kwa watanzania wote kuona elimu kama mzigo wa mawe, kwamba nikitu cha shida sana na kina uwekezaji mkubwa sana.
Hili lina wezakuwa ni jambo lakweli kutokana na mifumo yetuya kupata elimu na utoaji wake kwa jamii yetu. Elimu ilionekana, na bado inaoneka na kama anasa kuipata, na upatikanaji wake ni mgumu sana, inaonekana ni kwa watu wenye hela tu wanaowezakuipata, na ni kwatabusana.
Pamoja na yote hayo iyo isitumike kama sababu ya kimantiki kufifisha ari na hitaji la mtu mmoja mmoja kupata elimu. Lazma mamlaka husika na sisi wananchi mmoja mmoja tuwe na hamu ya kupata elimu na tuitafute kokote kwa udi na uvumba, kwani elimu bora ndio mstakbali wabaadae yetu.
Kwa leoni hayo machache ndugu kijana mwezangu, tujitaidi kubadilika kifikra,
Sisi sote ni ndugu.
Na Godfrey Nangeda.
Subscribe to:
Comments (Atom)
